







100% True!Kama wewe tu,Makamba hawezi kusafiri kwa treni yule. Aache livieite la milioni 600 aje apande treni kweli?![]()



Kwani kutokuona siku ni dhambi?lolote laweza kutokea tukaanza kusingiziana huoni siku zako
Hivi nyie mnapokwenda club namna hii mnategemea nini hasa? Hapa si ajabu hata ikulu kweupee! Zisi jeneresheni izi tafu!
View attachment 2459727
Sijui kwanini nimecheka SanaSafi kabisa bageshi.
Hapa ghettoni kwangu nina draw ya mambo ya dharula kama hayo japo sitegemei kuwa na mechi hapa leo, kesho na hata milele lakini sifa ya mwanaume makini ni kuwa tayari kwa lo lote wakati wo wote maana you just never know....![]()

Bila shaka hukutoka "mikono mitupu"Jana nilikua Hovac - Masaki, pisi kama hizi zikikuwepo kama zote, Yani huyu anasubiri...


Uchawi kwa Tanzania aisee ni kila sehemu. Jana nilikuwa naongea na jamaa hapa kutoka Mtwara huko amekimbia uchawi. Kajenga nyumba nzuri kijijini siku ya kuhamia amekuta vichuguu vya mchwa kila chumba. Watu wengine wakija hawaoni kitu. Ameenda kwa wataalamu huko wakamrekebishia kukapoa kidogo lakini baada ya muda mambo yakaanza tena. Anaona moto unawaka nyumba inaungua anakurupua familia kutoka nje anapiga makelele mpaka wanakijiji wanakuja lakini wanakuta hakuna moto wala nini. Ameondoka bila kuaga na hataki tena kupasikia huko Kusini mpaka anakufa...Kama wewe tu,
Juzi nimemsikia askofu wa misungwi anasema,misungwi waache ushirikina ni wachawi sana![]()



Kwahiyo umeamua kunimalizaUchawi kwa Tanzania aisee ni kila sehemu. Jana nilikuwa naongea na jamaa hapa kutoka Mtwara huko amekimbia uchawi. Kajenga nyumba nzuri kijijini siku ya kuhamia amekuta vichuguu vya mchwa kila chumba. Watu wengine wakija hawaoni kitu. Ameenda kwa wataalamu huko wakamrekebishia kukapoa kidogo lakini baada ya muda mambo yakaanza tena. Anaona moto unawaka nyumba inaungua anakurupua familia kutoka nje anapiga makelele mpaka wanakijiji wanakuja lakini wanakuta hakuna moto wala nini. Ameondoka bila kuaga na hataki tena kupasikia huko Kusini mpaka anakufa...
Misungwi kwa ushirikina cha mtoto kwa sehemu zingine kama huko kwa Waha, Wafipa, Songea huko na Kusini pamoja na Tanga na visiwani.

, aisee tulivurugwa misumari hatuioni lkn macho hayafumbuki kutwa
Sikumbuki vizuri what happened...Bila shaka hukutoka "mikono mitupu"
Na hizi pisi nazo eti zitakuja kuolewa na kuwa tegemeo la kizazi kijacho
😁😁😁 finally nimepata AVATAR yangu ikiwa full 😂😂
Ya kwetu ina umeme wa kuchajia Simu

Oooh!finally nimepata AVATAR yangu ikiwa full
![]()



Kwa nini usibadili mwenyewe?Oya Moderator
Nahitaji kubadili avatar, naomba mnitolee hiyo picha.Mkiwa tayari nambie nikupeni picha mniwekee