Kama ulikua humjui Vizuri Bondia MANDONGA wacha nikufahamishe:-
Jina kamili :- KARIM MANDONGA.
Amezaliwa :- 19/5/1979.
Umri :- miaka 43.
Sehemu aliozaliwa:- MIKESE mkoani MOROGORO.
Sehemu anayoishi;- MORORORO MJINI.
Kazi yake:- MPIGA DEBE.
Sehemu anayofanyia kazi:- STENDI YA MKOA MSAMVU iliopo MORORORO.
Kazi nyengine:- BONDIA
Kabila :- MLUGULU.
Umaarufu :- Ndie Bondia MAARUFU ZAIDI TANZANIA kwa sasa.
Kauli mbiu yake :- MANDONGA MTU KAZI.
Familia :- Ameoa na watoto 2.
DARAJA:- hupanda daraja kila anapopigwa hasa knockout.
UPENDO KWA MASHABIKI:- Mashabiki zake hupenda apigwe kila pambano.
MATARAJIO YA MASHABIKI:-Matarajio ya Mashabiki zake ni kupigwa tu hadi afe.
MSIMAMO WA MASHABIKI;- Kuwa nae bega kwa bega mpaka afie ulingoni,
Pia hana haki ya kushinda haki yake ni kupigwa tu ushindi wake hawautambui.
DUA ZA MASHABIKI:- Mashabiki zake humuombea Dua ya kupigwa knockout kila pambano.
View attachment 2459362