January nakopesha watu Kwa riba ya 30% hahahaha
Mamaaeee huo mama hakua na mme maana km mm nigekiwasha pale naona sasa hivi hao manesi wangekua nao wamelazwaHuduma kwenye taasisi zetu za umma ni mbovu na mahospitalini huko ndo usiseme. Rushwa kila mahali....
View attachment 2456353
Hahhaa, mkuu hii inatoka kitabu gani nikaisome?