Bado week moja
Huwa zinanikera sana, kuna siku nipo sehemu nataka nigugo chapchap nikawa naletewa hizi mambo, mpaka zamu yangu ikafika and i failed sababu ya hii kituAuthenticate ur Account
We need to make sure that you are real person
Jau sana hiko kipengele![]()


SARAFINA! - Siwelele Mama, hichi kinachoendelea nchini this is best song...Dedication to sisi na wao
Can't be sure, bro!Una uhakika kuwa yeye hapigi?
Wanasiasa ni wale wale tu....
... by Ngugi wa Thiong'oThe river between by China Achebe!![]()
Siyo kweli, hapo wamekula kwa urefu wa kamba zao, utakula ng'ombe wamekula mbegu za elf 60 tuu halafu yqkaongezwa masifuriKama nawaona vile wenye ng'ombe watakachofanywaView attachment 2455530


Au labda neno kufuja lina maana nyingine apart from embezzlement?Hata kwa maneno tu hawezi kuwakemea sembuse matendo....
Alipaswa kuonyesha ukali hata kama ni wa maneno tu sisi wananzengo tukajua kuwa yuko siriazi. Sasa hizi kauli za mara wale kulingana na urefu wa kamba. Mara wafujaji fujeni tu dah! Inaonekana kama vile kabariki japo naamini sivyo....Washauri na PR wabovu....
View attachment 2455486
Kuchapiwa kupo pale pale 🤣🤣🤣🤣 mbususu hizi tuzichakate tuu ukipewa nafasi ila kkaa ukijua sio yako weye peke