Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,549
- 21,676
kwa waliosoma cuba hawapati shida hapa.
Hakuna haja ya toilet paperView attachment 2449617
kwa waliosoma cuba hawapati shida hapa.
Viongozi wa Afrika masikini. Sijui walirogwa na nani. Huyu jamaa ni tajiri kweli kweli lakini bado anapiga hatari. Tatizo hasa ni nini? Mbona vituko namna hii?
View attachment 2447413View attachment 2447415View attachment 2447416
Hapo haina haja ya maji toilet paper zipo za kumwagaView attachment 2449617
kwa waliosoma cuba hawapati shida hapa.

unachuma unaenda studioSasa hivi unabaki kujilaumu tu, na hujazeeka sana Wala niniView attachment 2449623
enzi hizo unakaa magomeni, ukiambiwa mbezi kimara kwa 1000 unapata ekari 10 unasema porini.






Umesema BEYONCE alafu DUBAI na malipo ni USD 142 MILLIONS asee hivyo ni vitu vitatu usivifanyie mchezo bongo njaa kali hakuna jipyaBeyonce aliwahi kualikwa kwenda kutumbuiza kwenye birthday ya bilionea mmoja wa Saudia akalipwa $142 million na hafla ilihudhuriwa na watu 32 tu. Hivyo haishangazi.