alphonce.NET
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,721
- 6,074
Ni Piranha auKuna movie Fulani hivi ilitoka 2010 siikumbuki jina ila ilikuwa inaonyesha watu (vijana) walikwenda kula BATA baharini wakati wanakunywa bia moja ya chumba ambayo haijafunguliwa ilitumbukia kwenye bahari na Kwa bahati mbaya baada Tu ya kutumbukia ilipasuka hivyo kupelekea kupasuka kwa miamba chini ya bahari na matokeo yake kutoka aina moja wapo ya samaki wanao onekana hapo... Na walianza kuwashambulia na kuwala watu wote walio ndani ya maji
Ni nani ana hizi imagination za hawa viumbe wa ajabu ajabu, nikiangalia horror movie zinaelezea kuhusu zombies na madude ya ajabu ajabu...
Nahisi soon tunaweza kukumbana na haya makitu...
Dunia si salama
Sent using Jamii Forums mobile app

Nyie kazaneni na kusema uno uno uno kanakwamba bibi hana kiuno
Bomboclut
Mistakes kama hizi (1,00,000!!!) lazima zikumbukwe tu!!!
Au andika university student alaf wanafunzi wa chuoNENDA GOOGLE ANDIKA BRAZZERS UTANISHUKULU BAADAE![]()

Hiyo ni kweli kiongozi halafu pia Adamu na Eva wangekuwa wachina wangemla huyo nyoka wasingekula tundaMbususu yakeView attachment 2449039
Ng'ombe anafuga ng'ombe mmmh ng'ombe hizi!Wazee wa kumechishaView attachment 2449043
Hii kitaalamu tunaita momonyoko wa akili huponi hata utumie mafuta ya mwamposa
Bull shitt mbona ameshikwa plate number hakuwepo kwenye kikao hili swala tulishapinga aombe wajumbe msamaha
Umejibu vema ila vice versus is always true boxer inaweza beba panya kwenye chumba ya mwanamke
NENDA GOOGLE ANDIKA BRAZZERS UTANISHUKULU BAADAE![]()



kwamba akaangalie picha za kirumi