Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Beautiful
20221216_124529.jpg
 
Hawa Mungu atakuwa amewapa kazi maalum,ndio maana wapo huko deep sea,hebu wawaache wasije kuliamsha dude bure
Utakuta wana virusi au bakteria ambao dawa zetu hazifui dafu. Na Mchina hapo lazima aonje nyama yao tena ikiwa hata mbichi.

Akili nyingi mbele....

Japo pia unaweza kuta wana compound ambayo inaweza kutusaidia kutibu magonjwa ambayo tumeyashindwa au kuishi maisha marefu zaidi....
 
We know more about black holes, Neutrinos, quantum particles, supernovae and other "weird" phonomena than we know about our oceans. Here are new deep-sea species that have just been discovered!
View attachment 2448646View attachment 2448647View attachment 2448648View attachment 2448649View attachment 2448650
Kuna movie Fulani hivi ilitoka 2010 siikumbuki jina ila ilikuwa inaonyesha watu (vijana) walikwenda kula BATA baharini wakati wanakunywa bia moja ya chumba ambayo haijafunguliwa ilitumbukia kwenye bahari na Kwa bahati mbaya baada Tu ya kutumbukia ilipasuka hivyo kupelekea kupasuka kwa miamba chini ya bahari na matokeo yake kutoka aina moja wapo ya samaki wanao onekana hapo... Na walianza kuwashambulia na kuwala watu wote walio ndani ya maji

Ni nani ana hizi imagination za hawa viumbe wa ajabu ajabu, nikiangalia horror movie zinaelezea kuhusu zombies na madude ya ajabu ajabu...

Nahisi soon tunaweza kukumbana na haya makitu...

Dunia si salama


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom