Aliekuambia mil3 haijengi na ikamaliza nyumba nani
Thank you jirani
Hamna kitu ninacho kuogopa kama chwa
We acha tu Jirani...Thank you jirani
Hizi kazi tusipokua makini zitatuzeesha kabla ya muda
Tupambane hamna namnaWe acha tu Jirani...
Jirani unanikosea sana Kwa kupotea namna hii...Tupambane hamna namna
Nilikufungulia pm haukuja, hadi nikaamua kuifunga.Jirani unanikosea sana Kwa kupotea namna hii...
Jirani pm unanifungulia sekunde alafu unapotea...Nilikufungulia pm haukuja, hadi nikaamua kuifunga.
Uje mtaani kwetu leo jirani utaniona
Sasa si lazima niweke mapozi jirani, yaani lazima nikusumbue sumbue.Jirani pm unanifungulia sekunde alafu unapotea...
Unanidolisha Jirani...
sawa Jirani nitapita mitaa hiyo, ole wako uishie kunichungulia gorofani...
Hata kama wanaume tumeumbiwa mateso siyo namna hii Jirani...Sasa si lazima niweke mapozi jirani, yaani lazima nikusumbue sumbue.
Kama saivi kufungua pm ni hadi mwisho wa mwezi ujao so kuwa mpole.
Hahahaa na usipokua makini takumwagia maji toka gorofani af nakwambia sorry bahati mbaya jirani.
Jirani unaonekana huna uvumilivu, unanipa mashaka.Hata kama wanaume tumeumbiwa mateso siyo namna hii Jirani...
Fungua pm Kwa nusu saa tu, nitakua nishamaliza...
Ukinimwagia maji ndiyo nitapata sababu ya kuja unikaushie nguo zangu...