Kitomari xxiv
JF-Expert Member
- Sep 26, 2021
- 1,285
- 12,572
.
Kama guniaSupa dupa yutongs
Ila lazima ziwe na umbo mkatiko, kiuno chembamba, mtako wa kumwagika, mipaja minene milaini, vititi vidogo na guu la bia....
Hizi zingine zimekaa kama gunia huwezi jua kiuno, tumbo na kifua vimeachanikia wapi kwa kweli hapana!
Kama wewe hapo ulivyo siku moja ukiamua kuwa supa dupa yutong itakuwa poa sana
View attachment 2421748View attachment 2421749

Umeachika tena?
Bosi kazinguaMungu tutie nguvuView attachment 2422324

Hawa wanakujaga dk 10 kabla ya kengele ya mapumziko na mda ukiisha anamzuia time keeper asigonge kengele