TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,893
- 8,483
Sio leo wala kesho lakini!!
Sio leo wala kesho lakini!!





hawa walokole ni mtihani sana, alafu ukute ni mlokole alafu ni single maza na baba wa mtoto hajafa


Kamwaga mboga jamaa kamwaga ugali na sahani kavunja badala ya kuosha




Kubeba mimba ni kazi sanaa hapo muonekano wa hao madada umechange kabisa utafikiri sio wao
China kuna kesi nyingi hata U.S.A wanawake wamesha burutwa mahakamani kwa kesi za kuhadaa na udanganyifuKubeba mimba ni kazi sanaa hapo muonekano wa hao madada umechange kabisa utafikiri sio wao
Mimba iheshimiwe![]()


Anatomy itatusaidia nini kwenye lapulapu kama hilo?Si mfundishane anatomy 101![]()





Usiwahukumu wote kwa kosa la wachache. Overgeneralization in most cases is wrong!hawa walokole ni mtihani sana, alafu ukute ni mlokole alafu ni single maza na baba wa mtoto hajafa
![]()
![]()
![]()
Usiwahukumu wote kwa kosa la wachache. Overgeneralization in most cases is wrong!
huja kutana nao mkuu! Japo sio wote ila Muombe Mungu akunusuruKigoma wakataeni hawa jamaaa
Wtf
iyo team hatari Sana namuona Rico strong hapo Kachukue kuni zako zile paleee sitereiti motoniWtfiyo team hatari Sana namuona Rico strong hapo
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app




NatubuKachukue kuni zako zile paleee sitereiti motoni![]()


