Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mwenzie
JamiiForums410300119.jpg
 
Kubeba mimba ni kazi sanaa hapo muonekano wa hao madada umechange kabisa utafikiri sio wao

Mimba iheshimiwe
China kuna kesi nyingi hata U.S.A wanawake wamesha burutwa mahakamani kwa kesi za kuhadaa na udanganyifu

- mtu kafanya upasuaji wa urembo, kubadili muonekano, au kutumia make_up, anachumbiwa, anaolewa, ana zaa mtoto wa kwanza, wa pili, wa tatu na wote hawafanani na baba hata kidogo wala mama, mwanaume anaingia wasiwasi anachukua jukumu la kupima DNA bado baba ni yeye HOW!!? Kwenye ufuatiliaji analetewa pic za mkewe akiwa mdogo na picha za miaka ya kati na za muda mfupi kabla ya kumoa, alie kuwa kwenye pic alizoonyeshwa na alie muoa na kuzaa nae ni tofauti, anakuta kuna mabadiliko makubwa ambayo si ya kawaida, mwishowe kesi, vipo visa vingi sana
 
Back
Top Bottom