Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

20221120_102506.jpg
 
Supa dupa yutongs

Ila lazima ziwe na umbo mkatiko, kiuno chembamba, mtako wa kumwagika, mipaja minene milaini, vititi vidogo na guu la bia....

Hizi zingine zimekaa kama gunia huwezi jua kiuno, tumbo na kifua vimeachanikia wapi kwa kweli hapana!

Kama wewe hapo ulivyo siku moja ukiamua kuwa supa dupa yutong itakuwa poa sana
View attachment 2421748View attachment 2421749
Au sio mm pekee kwetu ndio nimenyimwa mwili si unawajua wanyaki lkn. Labda nikizaa naweza bongeka.
 
Malizeni hilo bwawa la Nyerere tuondokane na hili tatizo once and for all. Mwendazake is dead hata mkiitelekeza miradi yake mikubwa hasa yenye maslahi kwa taifa mtakuwa mnamkomoa yeye aliyekufa au wananchi wenu walio hai?

Hustler Rutto amesema atajenga mabwawa makubwa mawili ya kufua umeme na yatakamilika early 2024. La kwetu si ajabu litakuwa bado linasuasua...kituko!
IMG-20221120-WA0033.jpg

IMG-20221119-WA0071.jpg
 
Au sio mm pekee kwetu ndio nimenyimwa mwili si unawajua wanyaki lkn. Labda nikizaa naweza bongeka.
Nitakuwa nakusubiri. Ukizaa ukabongeka we nitonye tu kwa kweli

Siku hizi mnaiga usasa. Pisi nyingi za Kinyaki vimbaumbau siku hizi. Hata mabinti wa Kinyaki mlioko hapa wote vimbaumbau japo mmefungasha hatari. Mkiyutongika yaani dah!
 
Back
Top Bottom