Mangi Mlay
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 5,743
- 7,089
Khadija ameua vibaya sana
Dooh... Wanamgombeaje mpenzi wao?!Khadija ameua vibaya sanaView attachment 2373493
Eti anaingiza kichwa kidogo tu basiiiii
Mpumbavu wewe mimi sikuleta hiyo post, nilichangia tuu nikasema wewe mdada utakuwa ombaomba ndo maana umekasirika hicho kituko.Rejea post ya kwanza tulipoanzia, uliwananga walemavu kuwa wanaomba omba! Ndio nikakujibu hivyo usitoke kwenye mada, uungwana waombe radhi walemavu unatumia ulemavu wao kudhalilishia
Aiseee, kumbe kweli, nimegoogle ikaja hizo picha