Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Povu!
zee_babalao~p~Ci2lFHqqZ0b~1.jpg
 
Soma Tena comment yangu kama Kuna neno mlemavu. Nimesema wewe ni mdada mweupe na unaombaomba sana pesa Kwa wanaume ndiyo maana umekasirika kwenye hicho kituko.
Rejea post ya kwanza tulipoanzia, uliwananga walemavu kuwa wanaomba omba! Ndio nikakujibu hivyo usitoke kwenye mada, uungwana waombe radhi walemavu unatumia ulemavu wao kudhalilishia
 
Back
Top Bottom