Hautojutia,we. tuma na yakutolea![]()

namm baada ya week nije na uzi wangu hukuWewe nakufata hukohuko kukuchukua wasije kukuiba njianiTaavid tuma na yakutolea View attachment 2342598

Uzi was kukutana na wardanamm baada ya week nije na uzi wangu huku




Wewe nakufata hukohuko kukuchukua wasije kukuiba njiani![]()




komesha,



Kwa kweli bora unifanyie hivyo kuliko nkutumie nauli afu usije, ni dharau iliyovuka kikomokomesha,
Eti wanasema mnasema tunakula nauli zenu,sasa mtufuate mkifika stend mnazimiwa simu
Nauli yako inakuwa umeila mwenyewe![]()


Kwa kweli bora unifanyie hivyo kuliko nkutumie nauli afu usije, ni dharau iliyovuka kikomo![]()



jamani 
Kwani we hutaki nikufate, nije hadi kwenu na chuma tupige misele uoshee mabest afu tusepejamani
Nikatie tiketi ya kiitroniki![]()


Ewaaaaah mambo si hayoKwani we hutaki nikufate, nije hadi kwenu na chuma tupige misele uoshee mabest afu tusepe![]()



Ewaaaaah mambo si hayo
Njoo nakusubiri mie nitambe![]()

mabest lazima wajue kabisa uko na jamaa anaehudhuria sheli mara kwa maraEti na sio bahili japo mafuta yapo bei juu kawasha chuma kutoka dar hadi maposenimabest lazima wajue kabisa uko na jamaa anaehudhuria sheli mara kwa mara


