Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20220927-WA0139.jpg
 
Mwenge wa uhuru ukimaliza kukagua miradi mbalimbali Mkoa wa Katavi, leo umebaini dosari katika jengo la wagonjwa mahutututi (ICU) hospitali ya wilaya ya Tanganyika ambapo moja ya chumba kimebainika kufungwa taa za mwanga kama wa disko (dicso light).
 
Back
Top Bottom