Mambo yote waaahDah kushoto kulia kulia kushoto
Namna hii lazima airudishe tu pumbav* zake

Watu wakorofi

na wao wanahubiriwa mixer kuuziwa mahindi dirishaniWatu wakorofina wao wanahubiriwa mixer kuuziwa mahindi dirishani


hatari Sana mkuuHahaha kazi kweli kweliView attachment 2362065
Afrika ingekuwa na mipango kama ya wazungu hivi leo kusingekuwa na Mafoleni ya kusubiri viongozi wapite .
Hebu angalieni jinsi wanavyotusumbua huku na Jinsi walivyokusanywa huko Ulaya