Ivan Breaker
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 1,380
- 5,503
Vawulence bus!Nimeipenda ,imekaa poa.Haya majitu yakiwa huku yanajiwekea utukufu na enzi kuu,kumbe yanaweza kusafiri kama raia wengine na mambo yakawa poa.Hii no kuwakumbusha kuwa wao ni daraja la mwisho,wa kawaida saaana

MasimangoKumbe ni kitaifaView attachment 2361695

Wakiwaga huku sasa mnawekwa pending kwenye folen 30mnts goddamitVawulence bus!Nimeipenda ,imekaa poa.Haya majitu yakiwa huku yanajiwekea utukufu na enzi kuu,kumbe yanaweza kusafiri kama raia wengine na mambo yakawa poa.Hii no kuwakumbusha kuwa wao ni daraja la mwisho,wa kawaida saaana![]()

