Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

255652536535_status_d77fa5cb33b7446e84764bdfb6e7654c.jpg
 
Vawulence bus!Nimeipenda ,imekaa poa.Haya majitu yakiwa huku yanajiwekea utukufu na enzi kuu,kumbe yanaweza kusafiri kama raia wengine na mambo yakawa poa.Hii no kuwakumbusha kuwa wao ni daraja la mwisho,wa kawaida saaana[emoji23]
Wakiwaga huku sasa mnawekwa pending kwenye folen 30mnts goddamit [emoji23][emoji16]
 
Back
Top Bottom