Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

cheka_tu_~p~CihfE5rKciw~1.jpg
 
#NjeYaSoka : Rapa wa Jamaica, Diamond The Body (@diamondthebodyy) amesema kuwa toka apoteze usichana wake (bikra) ameshakutana kimwili na Wanaume 2000.

Amepoteza bikra yake akiwa na miaka 12, mbali na hivyo amedai kuwa haogopi wala hajali maneno ya watu na kama kuna mwanaume anataka kuwa wa 2001 ajitokeze.

“Ni Mungu pekee ndiye anayeweza kunihukumu" alisema Diamond The Body.

Utakumbuka hivi karibuni zilisambaa picha katika mitandao ya kijamii zisizo na maadili (nusu utupu) akiwa na msanii Burna Boy.

Credit : Koncept TV Online
(Instagram)View attachment 2361074
Duh
Hapo kuna skrepa, siyo mashine 🙄
 
Back
Top Bottom