Huyu mjinga kanikumbusha mbali sana,nilikuwa na tabia ya kuchuwa simu ya mama na kupiga namba zisizoeleweka

Wee kumbe sio mshabiki kindaki ndakiLini tumefungwa????
Simba![]()
Kwn kocha huyu katimuliwa au yeye ndiyo kakatisha mkataba kaenda timu nyingine baada ya kugundua ubabaishaji.Ila matola mganga wake bado yuko vizuri sanaaa
Kwa hiyo lecturer alikuwa anakula utamu...demu sasa dgree hakuna
Unaweza ukachinja mbuzi mjukuu?