Ukweli mtupuuuMadness is when you think your Girlfriend is dating only you..🙄
Than you !!!
Ukweli mtupuuuMadness is when you think your Girlfriend is dating only you..🙄
Than you !!!
Shida ya kuku ni moja tuu.. Shimo ni moja lakiniPenzi la kuku
Penzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao..
Penzi la binadamu dakika nyingiiii hadi saa nzima Lakini mtoto 1 au 2.
Sasa, binadamu na kuku nani JEMBE?!!!
Ukiona jogoo popote wee piga saluti tuu![]()


Mambo 10 ambayo huwezi kufanya:
1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu nywele zako,
3. Huwezi kupumua kwa Pua na huku umetoa Ulimi;
4. Saivi Unajaribu kufanya namba 3
6. Umeona inawezekana, sanasana unakuwa Kama umbwa
7. Unatabasamu !
8. Umeruka namba 5;
9. Unahakikisha Kama kweli 5 haipo.
10. Unatabasamu kwa kuwa umebambwa!



nimejaribu kupumuaAiseeUkipendwa ujue kuna boya huko kaachwa![]()
Kwani kujisalimisha!![]()

Huyo mama tu jamani dooh, ntafika mbinguni nipo hoi

