Ukweli mtupuuuMadness is when you think your Girlfriend is dating only you..🙄
Than you !!!
Ukweli mtupuuuMadness is when you think your Girlfriend is dating only you..🙄
Than you !!!
Shida ya kuku ni moja tuu.. Shimo ni moja lakiniPenzi la kuku
Penzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao..
Penzi la binadamu dakika nyingiiii hadi saa nzima Lakini mtoto 1 au 2.
Sasa, binadamu na kuku nani JEMBE?!!!
Ukiona jogoo popote wee piga saluti tuu[emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimejaribu kupumuaMambo 10 ambayo huwezi kufanya:
1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu nywele zako,
3. Huwezi kupumua kwa Pua na huku umetoa Ulimi;
4. Saivi Unajaribu kufanya namba 3
6. Umeona inawezekana, sanasana unakuwa Kama umbwa[emoji16]
7. Unatabasamu !
8. Umeruka namba 5;
9. Unahakikisha Kama kweli 5 haipo.
10. Unatabasamu kwa kuwa umebambwa!
AiseeUkipendwa ujue kuna boya huko kaachwa[emoji4]
[emoji123]Kwani kujisalimisha! [emoji23][emoji23]
@mzabzab anapuyanga na gobole[emoji23][emoji23]Silaha pesa bastola mzigo [emoji16]
Huyo mama tu jamani dooh, ntafika mbinguni nipo hoi[emoji16][emoji16]Taavid unawafahamu hawa? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
View attachment 2342088