Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Mimi niko poa kabisa mai furendiMe too. I hope you are doing well mai dia furendi![]()



Itakuwa ulisimuliwa![]()


eti nilisimuliwa...na nani? Nimesoma mwenyewe kabisaNilivyo mjinga eti napenda meno ya hivi
Utawahi?eti nilisimuliwa...na nani? Nimesoma mwenyewe kabisa



I didn't recognize him either! But I think he used to be balded!



Na hapa je?eti nilisimuliwa...na nani? Nimesoma mwenyewe kabisa



Ninachokisema ni kweli kabisa, nina uhakika nimesoma hii habari ilikuwa kwenye mfumo wa shairi, kitabu cha darasa la nne kilikuwa na cover la bluu.Utawahi?
Mbona mnapenda kujizeesha sana?
Huwa mnafikiri hamtazeeka?![]()
Nipende uzee wa nini aisee hapa nikikumbuka umri wangu kama nilikuwa nacheka najikuta kicheko kimekatika ghaflaWe pepo utaisikia kwenye TV tu.I didn't recognize him either! But I think he used to be balded!![]()
Hiki nimekisoma ila sio darasani
Ninachokisema ni kweli kabisa, nina uhakika nimesoma hii habari ilikuwa kwenye mfumo wa shairi, kitabu cha darasa la nne kilikuwa na cover la bluu.Nipende uzee wa nini aisee hapa nikikumbuka umri wangu kama nilikuwa nacheka najikuta kicheko kimekatika ghafla


