Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20220819-WA0044.jpg
 
Kati kati ya misitu ya Congo kuna uwanja mkubwa sana wa ndege,na uwanja huo kila uchao unapokea ndege za kutoka bara la Uropa huku zikiwa zimesheheni siraha za kila aina huku zikiondoa na vito vingi sana vya thamani.
N:B Siku tukiamka mambo haya yataisha kwa uwezo Mungu
FB_IMG_1660870623958.jpg
 
*Habari zenu wababa , mkumbuke taarifa za watoto anaepaswa kuzitoa ni mama watoto...
usianze kudakia oooh huyu mwanangu wa pili sijui wa tatu, wanne, pls kaa kwa kutulia mbali kabisa wakati mkeo anatoa taarifa za wanae kwa karani wa sensa...
sawa wazee ?
 
*Habari zenu wababa , mkumbuke taarifa za watoto anaepaswa kuzitoa ni mama watoto...
usianze kudakia oooh huyu mwanangu wa pili sijui wa tatu, wanne, pls kaa kwa kutulia mbali kabisa wakati mkeo anatoa taarifa za wanae kwa karani wa sensa...
sawa wazee ?
saw ndy maana mimi staki kuhesabiwa labda nipewe hela😎😎
 
Kati kati ya misitu ya Congo kuna uwanja mkubwa sana wa ndege,na uwanja huo kila uchao unapokea ndege za kutoka bara la Uropa huku zikiwa zimesheheni siraha za kila aina huku zikiondoa na vito vingi sana vya thamani.
N:B Siku tukiamka mambo haya yataisha kwa uwezo MunguView attachment 2327877
Kuna movie inaitwa "Sara's note book' inaonyesha yote ayo
 
Back
Top Bottom