Duuh jamaa katoboa kimasihara tuu🤔
Kwa kweli mungu anipe uvumilivu nisije enda kwa mngaga nikamloge huyu mwanamke aliesepa na laki tatu zangu






jamani mzab laki tatu,Acha tuu yaani hapa nina machungu acha kabisa.jamani mzab laki tatu,
Mganga nipo hapa
Dah!
Hahaha..Si dharau hiziView attachment 2320153
Pole sana,Acha tuu yaani hapa nina machungu acha kabisa.

Niipate wapi bwana wewe ndio kinachoniuma ujuePole sana,
Papuchi alikupa![]()
Niipate wapi bwana wewe ndio kinachoniuma ujue





mzab 
Aliwahi kukopa elf hamsini na alitudisha on time na pia mambo mengine yupo mstaraab ila hili ndio naona kageukamzab
Ilikuaje ulitanguliza noti nawe,. Umeniangusha![]()
Duuuuh pole sana mzeyaAliwahi kukopa elf hamsini na alitudisha on time na pia mambo mengine yupo mstaraab ila hili ndio naona kageuka


