antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 49,677
- 130,554
MKE Vs MCHEPUKO
Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.
Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.
Tv waweza tumia bure, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.
Tv ni kubwa, nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba (portable) na unafurahia kwenda nayo popote!
Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.
Tv ina remote lakini Simu haina.
Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana: unaongea na unasikiliza. Lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki!
Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu, lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea tu na fasheni.
Ya mwisho na ya kuzingatia:
Tv haina Virusi lakini Simu inavyo..
KUWA MAKINI.
Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.
Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.
Tv waweza tumia bure, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.
Tv ni kubwa, nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba (portable) na unafurahia kwenda nayo popote!
Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.
Tv ina remote lakini Simu haina.
Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana: unaongea na unasikiliza. Lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki!
Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu, lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea tu na fasheni.
Ya mwisho na ya kuzingatia:
Tv haina Virusi lakini Simu inavyo..
KUWA MAKINI.


