Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20220801-WA0157.jpg
 
ALIYETANGAZA KUWA NI SHOGA ATANGAZA KUOLEWA.

Mwaka jana zilienea taarifa za kusikitisha zilizowaacha watu vinywa wazi, ni baada ya mwanamuziki wa kundi la Sauti SOUL Chimanno kutoka Kenya kujitangaza kuwa yeye ni shoga,
Watu wengi walionyesha kukeleka na kundi la sauti soul lilipoteza mashabiki wengi sana.
Ni miezi kadhaa imepita na sasa Chimano ametangaza kuwa tayari ana mume wake ambaye yupo Ujerumani na wanampango wa kufunga ndoa hivi karibuni.View attachment 2310564
🙄😳🤔
 

Mlinzi​

High school Flashback!!

Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni mgonjwa.
Watchman : Unaumwa na nini hiyo?
Allan : Binomial Nomenclature..
Watchman : Eeh, lala tu kijana. Hiyo kitu ni
hatari sanaaa. Imeuwa mno watu South Africa huko😊
 

Mwizi​

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke.
Mimi: unatafuta nini?!!
Mwizi: hela
ndipo nilipoanza na mie kutafuta nae maana hata hela ya bando jana sikua nayo.. alichoka zaid nilipomuuliza: una uhakika ulitunza hela humu?! Sipendagi ujinga na kitu hela mie😊
 
Back
Top Bottom