Zuzu kaniuliza, “Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana.”
Nikashtuka, “Astaghafilulah we mtoto! Niondolee uchuro wako hapa!”
Zuzu akatabasamu. Akaendelea kuongea kabla sijafanikiwa kumzuia.. “Kweli kabisa anko. Vitu vinavyoanza na K ni vitamu sana kwa mfano kuku, kalimati, keki, kabab, katleti, kashata, kisheti, karanga, korosho na karoti.”
Nikashusha pumzi. “Ahaa! Kumbe ndo hivyo, ni kweli!”
Zuzu akanitupia swali. “Kwani we anko ulidhani nini?”
Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. Dogo: 21002
Mimi: Eboo! Kuchajia mara moja tu ndio HELA yote hio si bora nikanunue Chaja yangu mpya?!! Dogo: Hapo maana yake nimesema 'TUMIA TU' Mimi: 🙄🤔
Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti kwa njia ya Radio Call juu ya kinachojiri: ASKARI: Mkuu tumekuta mama mwenye nyumba kampiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza vibaya sanaa
AFANDE: Kha! kisa mkasa mpk akafanya hivyo?!!! ASKARI: Mama mwenye nyumba alikua anapiga deki mumewe akaingia ndani na viatu kabla sakafu haijakauka. AFANDE: Sasa mmesha mkamata huyo mwanamke? ASKARI: Bado mkuu. AFANDE: Kha! sasa mnangoja nini?! ASKARI: Si tunangoja kwanza sakafu ikauke?!!!
Mwaka jana zilienea taarifa za kusikitisha zilizowaacha watu vinywa wazi, ni baada ya mwanamuziki wa kundi la Sauti SOUL Chimanno kutoka Kenya kujitangaza kuwa yeye ni shoga,
Watu wengi walionyesha kukeleka na kundi la sauti soul lilipoteza mashabiki wengi sana.
Ni miezi kadhaa imepita na sasa Chimano ametangaza kuwa tayari ana mume wake ambaye yupo Ujerumani na wanampango wa kufunga ndoa hivi karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.