SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,968
- 75,041
Nafaka kwa nafaka
Nafaka kwa nafaka
Huyu bingwa mjegejeo wake haulali na njaa hata siku moja,ule msamiati wa leo sijisikii yeye haumhusu. Jamaa anafaidi sanaKuna watu wanakula maisha!
View attachment 2287220
Aisee....sio tall ni tolu!
Wasukuma wenzangu mnafeli wapi?
Kama we kidume peleka moto hapo
Naona bibi yetu anajiandaa umtoe out, babu eeenh msalimie bibi
Ukisikia "Maziwa Makuu"