Naomba screenshot ya status viewers wako, nipo tayari uniseme...Aombe screenshot? Uzwazwa huo 🤣
Nitamchamba 🙈
Mwaliko mtausikia redioniHaka kenyewe hakawezi kutunyima mwaliko. Kamanda ndiyo kabisa; atstupa na nafasi ya kutoa ushauri nasaha
Sent using Jamii Forums mobile app

Babu napenda uporoKwenda zako huko.
Hakuna chakula kitamu kama kiporo cha wali na chai kavu uwiii![]()
,Kuku watakula pumbaShauri yako


Chizi hiloPunguza ukali wa maneno....
😂😂 vitamin M iko iko kwa mbaliii
.....wanaliwa,