Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

[emoji16][emoji16][emoji16]
mcinika___wa___lamar~p~Cdz3eapsJhF~1.jpg
 
Sijafika Uyole hivyo siwezi kukubishia ila wote waliomo humu JF ni vimbaumbau.....

Wewe, Saint Anne, Simara, Financial Services, Kelsea, Mumylove...

Labda mmeweka masharti kuwa kila binti wa Kinyaki akitaka kujiunga JF inabidi awe kimodo! [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Wa humu tunajikondesha tu. si unaona mavishundu hayaendani na miili yetu[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaache hako kakurugenzi kangu kapendwa karembo. Katashangaa siku hiyo kutukuta tumekaa high table pamoja na wanafamilia. Ndo katajua kuwa kuongea sana siyo kujua kila kitu.

Kamanda P ni mtu wangu wa karibu sana na hataniangusha....
Haka kenyewe hakawezi kutunyima mwaliko. Kamanda ndiyo kabisa; atstupa na nafasi ya kutoa ushauri nasaha[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenuniwa na nani?

Hayuko neutral yule. Yuko upande wangu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji123][emoji123]

Kamanda ni mtu mmoja namheshimu sana. Huko nitakuwa napeleka kesi kubwa kubwa tu...au nikipambana na wewe halafu ukanishinda na najua kuwa nina haki. Nitakuwa nakonyorosha mwenyewe tu kwanza...

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Hakika nawaombea mfikie malengo yenu matakatifu. Huku nje huku hali wala si shwari msifikiri mchezo. Mungu na Akawasaidie [emoji1545][emoji1545]
AMEN

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mkurugenzi anapita ujumbe wangu kama hauoni vile[emoji51]


Malengo gani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mimi ya kwangu ni kutafuta kazi[emoji16]
Ya kamanda ni kujiunga praise and worship team kama mimi.
Nilikuwa busy na Baba Mwakasege

Malengo ya kamanda nayajua. Amen imekuwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom