Shem jamani. Mtupumzishage sometimes kha!



Jiandaeni kwa twisheni ya Kisukuma 


Mwalimu wa twisheni nipo hapaNyoo mtasubiri sana
Kuna mtu tena humu humu sikumbuki uzi ila alisema kuwa jamaa wamevutia kitu ndani...halafu akafuta ile comment. Mi nikajua tayari mabaharia wameshafanya yao....Khaa eti ndio mpyaniitoea wapi ninayo chakavu tu
Leo Behat hulali...


Asante Mzee,ndo hufanyaga hvyo nikistukagaLeo Behat hulali...
Kuna limtu linakukodolea hapo kodo!
Usiku wa manane. Ni muda wa hatari. Vifo vingi hutokea muda huu Zirairi akizunguka huku na huko duniani kuvuna roho. Hata heart attacks nyingi ndo mida yake hii.
Ukiamka muda huu inashauriwa sana kusali!
Hiyo something ikae tu.
Sawa mtumishi. Nitaanza kesho kama iziraeli hajatembelea kwa nyumba yangu.Leo Behat hulali...
Kuna limtu linakukodolea hapo kodo!
Usiku wa manane. Ni muda wa hatari. Vifo vingi hutokea muda huu Zirairi akizunguka huku na huko duniani kuvuna roho. Hata heart attacks nyingi ndo mida yake hii.
Ukiamka muda huu inashauriwa sana kusali!
Ukiongezea na uchawi wa Gasuma nakwambia ni hatari sana.Sawa mtumishi. Nitaanza kesho kama iziraeli hajatembelea kwa nyumba yangu.



Uwe unanipigia ili nikuombee kwa ukaribu zaidi mjukuuAsante Mzee,ndo hufanyaga hvyo nikistukaga




