Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1652469731227.jpg
 
Leo Behat hulali...

Kuna limtu linakukodolea hapo kodo!

Usiku wa manane. Ni muda wa hatari. Vifo vingi hutokea muda huu Zirairi akizunguka huku na huko duniani kuvuna roho. Hata heart attacks nyingi ndo mida yake hii.

Ukiamka muda huu inashauriwa sana kusali!
Sawa mtumishi. Nitaanza kesho kama iziraeli hajatembelea kwa nyumba yangu.
 
Back
Top Bottom