BlueIvy
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 1,038
- 2,898
Looh! Mmehamia huku tena, n vle haiishi lakn sjawah ipend kwa kweli.😔😔 ingawa ipo huko tuu hakuna aionaye lkn me inaninyima raha ☹☹
Looh! Mmehamia huku tena, n vle haiishi lakn sjawah ipend kwa kweli.😔😔 ingawa ipo huko tuu hakuna aionaye lkn me inaninyima raha ☹☹
Wakionaga hawana soko huwa wanahangaika saana, teh teh teh n kujipa tu moyo. Huyu hata 20k ya tz hapati, jua likianza kuzama huanza kutapa tapa.Hivi milioni 2 za Kenya ni sh. ngapi za Tanzania?
View attachment 2219763
Michirizi ya utamu hiyo iache wala isikunyime raha. Labda kama unadeti na vivulana hivi ambavyo havielewi cho chote kuhusu mwili wa mwanamke...na kwa nini anaitwa mwanamke!Looh! Mmehamia huku tena, n vle haiishi lakn sjawah ipend kwa kweli.ingawa ipo huko tuu hakuna aionaye lkn me inaninyima raha
![]()
#3 must go!Msaada wenu wakuu maana nipo hofulessView attachment 2220813


Nzuri io iache itampendeza zaidi mwenza wakoLooh! Mmehamia huku tena, n vle haiishi lakn sjawah ipend kwa kweli.ingawa ipo huko tuu hakuna aionaye lkn me inaninyima raha
![]()
🙇🏻♀️ looh! Skuwahi kulijua hilo.Michirizi ya utamu hiyo iache wala isikunyime raha. Labda kama unadeti na vivulana hivi ambavyo havielewi cho chote kuhusu mwili wa mwanamke...na kwa nini anaitwa mwanamke!
Ndo umelijua sasa.looh! Skuwahi kulijua hilo.







Kifaa kizuri cha kumtandikia mwanamke kama we shem hakipo hapo!Mjumbe namba 5![]()






