Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,666
- 208,787
Ustaa wako mie sitaki… haya naomba hela dear S 😂😂😂
Ustaa wako mie sitaki… haya naomba hela dear S 😂😂😂
Kwani wanawake wa jf mnataka kupigwa goli ngapi kwa wikiMaliza kuuliza… labda hizo 8 ni week nzima
Si ndio maneno yao humu wazee wa kusimamia ukucha.Aisee goli nane. Mnona mie maximum ni nne hizo nane wezangu wanatumia nini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]atakuta unga na tembele bichi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] utampata yule anampa manzi ake 2k
Ukeni wanaweka vitu vya hovyooo tu.Ndo mana magonjwa ya hayaishi[emoji706]
Lita 2.5 elf 10000 si mchezo
Inabidi uwaulize[emoji23]Aisee goli nane. Mnona mie maximum ni nne hizo nane wezangu wanatumia nini
Ewaa usiache kuniomba, hapo sawa...Nyie ndio mmetuchomea🤦♀️
Siachi ndiyo 😂😂
Zisizopungua 12 😂Kwani wanawake wa jf mnataka kupigwa goli ngapi kwa wiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akae mezani alambe unga wake 🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]atakuta unga na tembele bichi[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ustaa wako mie sitaki… haya naomba hela dear S 😂😂😂
Pigaaa majiEwaa usiache kuniomba, hapo sawa...
Wewe mbona umenichomea kwa Mabantu mpaka wamenitungia nyimbo Nakesha club na ukamshirikisha Marioo kabisa...
Hahahaha...
Natangulia kwa Mangi 🤸♂️🤸♂️