Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,482
- 203,156
Ustaa wako mie sitaki… haya naomba hela dear S 😂😂😂
Ustaa wako mie sitaki… haya naomba hela dear S 😂😂😂
Kwani wanawake wa jf mnataka kupigwa goli ngapi kwa wikiMaliza kuuliza… labda hizo 8 ni week nzima
Si ndio maneno yao humu wazee wa kusimamia ukucha.Aisee goli nane. Mnona mie maximum ni nne hizo nane wezangu wanatumia nini
Ukeni wanaweka vitu vya hovyooo tu.Ndo mana magonjwa ya hayaishi![]()
Lita 2.5 elf 10000 si mchezo
Inabidi uwaulizeAisee goli nane. Mnona mie maximum ni nne hizo nane wezangu wanatumia nini

Ewaa usiache kuniomba, hapo sawa...Nyie ndio mmetuchomea🤦♀️
Siachi ndiyo 😂😂
Zisizopungua 12 😂Kwani wanawake wa jf mnataka kupigwa goli ngapi kwa wiki
Akae mezani alambe unga wake 🤣🤣
Ustaa wako mie sitaki… haya naomba hela dear S 😂😂😂
Pigaaa majiEwaa usiache kuniomba, hapo sawa...
Wewe mbona umenichomea kwa Mabantu mpaka wamenitungia nyimbo Nakesha club na ukamshirikisha Marioo kabisa...
Hahahaha...
Natangulia kwa Mangi 🤸♂️🤸♂️