Wanawake wa jf sii mnatoka familia za mboga saba
Wanawake wa jf sii mnatoka familia za mboga saba
Mmmmmh,,,,,ujinga huu loohView attachment 2218281View attachment 2218282
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wa jf sii mnatoka familia za mboga saba


nataka nikupige kizinga,Khaaa! Kazi gani ngumu hiyo looohHapa inakuwa s starehe bali n uwanja wa vta, nmekumbuka kisa kimoja huku mtaan kuna dada alikimbia kwa mume.
Yaan mume anataka kila sku, yaan kila sku looh! Bint wa watu alikooonda, akakimbia![]()





Jeiefu kila mtu ana ishi Masaki, upanga etcnataka nikupige kizinga,
Wanaume wa jf wanamapesa/magari/kazi/wanapokea mshahara mnono, sasa niruhusu nikupige kizinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah jamaa kajichimbia kaburi kabisa
Vita ni vita muraaa.........sauti ya home Tarime
Huyu jamaa kitu ya kuitwa mvua yeye huisikia akienda job