Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,377
Kwa nini sasa kama hutaki kuja nifanyaje sasaMbinguni mtafika mmechoka sana
Kuna nini?Hakuna ugali hapo!![]()
Kwa nini sasa kama hutaki kuja nifanyaje sasaMbinguni mtafika mmechoka sana
Kuja kufanyaje??Kwa nini sasa kama hutaki kuja nifanyaje sasa
Binti Anasimulia:
Alikuja alieniposa (Mchumba) na nikakaa Mimi na yeye tuu, akaingia Mamangu akaweka juu ya Meza juice na Pizza, Kisha akatoka kwenda kumaliza kazi za Nyumbani akatuacha sisi peke yetu..
Akachukuwa kipande kimoja Cha Pizza Akala, nikamuuliza "vipi pizza umeipenda?
Akasema: Ndio tamu Sana..
Nikamwambia "Nimeitengeza Kwa mkono wangu (Nilimwambia hivyo ndio anipende Sana na asikimbie kutoka Kwa mkononi mwangu)
Akaanza kusifu Chakula na kunishukuru na kusifu uhodari wa upishi wangu..
Alipoondoka nilienda Kwa Mamangu na kumuuliza " Ile Pizza imetoka wapi ni tamu Sana??
Mama akasema "*Mchumba wako Ndie alikuja nayo


mtu kaumbukaKama hujahama Msasani kuna siku nitakuibukia tu![]()
Watanielekeza bila shakaUsiponikuta vuta rada upya ukuje niu lokesheni.

Hivi na wewe kwani ni last born? Basi tumtafute tu Abiudi Misholi atufungishe ndoa ...
Shida kubwa itakuwa kununa na kuzira. Usafi mi nauweza....Nitakunyorosha!


hivi kumbe hujuagi kuwa mimi ni last born kumbe ningejua ningekaa kimya. 

Haaaaah mm last born hapa kwenye kumbembeleza siwezi kila siku napokea za mbavu kisa kumbembelezahivi kumbe hujuagi kuwa mimi ni last born kumbe ningejua ningekaa kimya.
Mimi kuzira sinaga ila tatizo langu ni kuwa sijuagi kubembeleza![]()
Haaaaah mm last born hapa kwenye kumbembeleza siwezi kila siku napokea za mbavu kisa kumbembeleza
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app


mkuu hicho nacho kipaji si kila mtu anachoNaomba hii video