Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20220225_075810.jpg
 
kipindi tupo shule kuna siku tulikuwa na kikao na headmaster akawa analalamika kuhusu utoro, kuna dogo mmoja alikuwa mkorofi sana mwalimu palepale akamlipua "nawew ***** hivi unajua baba ako ameomba kuleta magunia ya mahindi kama sehemu ya ada?! Sasa we endelea kucheza"
Yani ilo dongo likikufikia ni balaa. Unaweza kuchekwa na wanaokuzunguka pale pale
 
ZIJUE FAIDA ZA KUFANYA MAPENZI;
1 Kulinda mwili zidi ya magonjwa ya Moto.
2 Hupunguza msongo wa mawazo.
3Kufanya mapenzi kuneta urembo kwa mwanamke .
4.Huongeza uwezo wa kunusa.
5 Hupunguza uzito na kufanya mtu kuwa na afya njema.
6Huongeza Hali yakujiamini.

HIZO NI BAADHI TU ZIPO NYINGI SANA.
NB;JITAHIDI ANGALAU KWA MWEZI MALA MOJA KWA WALE WENYE WAPENZI
 
Back
Top Bottom