Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,379



Mkuu mchana na usiku huwa panakuwa tofauti miji mingi sana.Last week nilipita Sumbawanga for the first time,nilivyotegemea kutakuwa nitofauti kabisa.....pale Mjini pako vizuri tofauti na mikoa kadhaa niliyopita......View attachment 2107452
Huyu kaona hali zote za maisha..mbingu na moto( joto) ya duniani hii.
Njoo!Njaa inaniuma
Mwanaume wa Dar hoi. He is totally out of it


Kula kitimoto na kwenda Casino kucheza kamari.Alikushawishi dhambi gani??
Ankali shikamoo![]()

