whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,928
- 9,437
Kenya ile ya magwiji wa kusakata soka.
Yaani magharibi wanakopatikana wajaluo na Waluhya.
Makabila mawili yanayoin'arisha Kenya kwenye mchezo wa Soka.
Tuambie Onyango ni baba, babu au mvulana




Aiseee leo nimecheka mwili wote hauna nguvu
Hahahahaha.Na kwa taarifa yako, mademu huwapenda sana hao wenye sura ngumu wa kutokea hiyo mikoa, dada zetu wengi wameolewa huko...




NishakujaNjoo!
Kula kitimoto na kwenda Casino kucheza kamari.
Nikamfukuzilia mbali ankali




wewe nawe khaa! Inaonekana ushakulaSupa dupaHalooooo !!!
View attachment 2107779
