T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,925
- 30,063
Mama kapania khaaa
Aaa wapi! Awamu hii inarudisha wote waliokataliwa na awamu iliyopita. Hata akina Kigogo wote wamesharudi serikalini (Marope, mbunge wa Millet n.k). Ni siasa. Ukizubaa unauliwa...Gazeti la propaganda lililokuwa linatumiwa na Serikali ya Awamu lilimchafua sana Zuhura Yunus. Leo Zuhura Yunus ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais - Ikulu. Tulikuwa tunawashauri watu waliokuwa karibu na watawala katika Awamu ya Tano kuwa waache kuchafua watu hawakutaka kutusikia!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile MwamakulaView attachment 2104255
Mwenye nacho ataongezewa lakini yule asiyenacho hata kile kidogo alichonacho atanyang'anywa.
Easily said than done!
Nasubiria upost memes nilale zanguEasily said than done!
Acha tu ndugu yangu. Haya mambo ni magumu. Hapa nilipo kuna baridi la kufa mtu halafu sina mtu wa kupashana naye joto. Mpaka nachanganyikiwa yaaniNgoshaaaumeamka kupost big booty ukarudi kulala



Mbona mapema sana?Nasubiria upost memes nilale zangu
Tatizo lako unataka tu ma yutong na utapata tabu sana mpaka pale utakapokubali kuwa sisi ndio tukoAcha tu ndugu yangu. Haya mambo ni magumu. Hapa nilipo kuna baridi la kufa mtu halafu sina mtu wa kupashana naye joto. Mpaka nachanganyikiwa yaani![]()



Umeme wa mgao simu haina chajiMbona mapema sana?
Ninalo li Yutong langu napumzikiagapo lakini limesafiri kikazi. Yaani we acha tuTatizo lako unataka tu ma yutong na utapata tabu sana mpaka pale utakapokubali kuwa sisi ndio tuko![]()



Oooh pole. Ulale salama basi (in case simu ikizima ghafla)Umeme wa mgao simu haina chaji
Basi kumbe shida yako ni ya kitambo tu vumiliaNinalo li Yutong langu napumzikiagapo lakini limesafiri kikazi. Yaani we acha tu![]()

