Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_1643281764395.jpg
 
Kwenye taaluma ya uandishi wa habari picha kama hii inaruhusiwa kuwekwa kwenye gazeti?
View attachment 2096327
"Nitajitahidi kushirikiana na waandishi wa habari, ikibidi tutaendesha kozi ili kuboresha uwezo wao.
Maana siku za hivi karibuni kila anayejua kuandika barua anajiita mwandishi wa habari"--- Rais mstaafu.
Benjamin William Mkapa.
D'Salaam
Desemba 1995.

Waandishi wa habari miaka hii wanaanzia mitandaoni kupost memes,
Kisha wanapata ajira kwenye vyumba vya habari.
Tuwasamehe bure
 
Back
Top Bottom