nyanthorogo
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 244
- 454
Baadhi ya makabila hugeuza makaburi kuwa viti vya kukalia kunywea pombe wakati wa kumbukizi za wapendwa wao ambao siku ya tukio waligalagala kwa vilio.
Imenichukua muda kuelewa. Kumbe ni breki mbupu


Fundi Maiko never disappoints...
I can't imagine the amount of bacteria that thrive here
Yeah! Hiyo kwa kweli imevuka mpaka!Hata kama utani hii haijakaa poa
Ulimi na huyu Abdallah kichwa ndivyo viungo vya hovyo kabisa kwa mwanaume!
Kama unaclear mwenyewe hapo big up sana mkuu, kuna siku nilikuwa nakutana na mtu kutokana nayeye alikuwa amewahi eneo la tukio nkamwambia basi anywe hata soda nikija hapo nalipa halafu kipindi hiyo nimefulia majanga kibao, nikakuta ameagiza na chipsi yai na samaki juuNiliambiwa na mtu tukutane eneo fulani muda fulani. Muda ulipofika nikaenda kabl yeye hajfkka, si nikaamua nipumzike kwenye eneo bar jirani.
Ile kufik akaniita stend akaniuliza "kwani nilikwambia unisubiri bar?" Nikamjibu tu, nimeingia kw pesa yangu na kikao kikaishia hapo. Niliona amenidharau sana tena mbele za watu.

nilimletea noma pale mpaka jamaa wa chipsi akawa ana wasiwasi kama atalipwa ikabidi aingilie kati kunibembeleza


Foleni kama hili naipendaga sana.Siri ya mtungi...View attachment 2058720
Ujenzi umekamilika kwa 100%Explain
Wizi wa kiboya.


Mungu ni mwema shemeji, hongera kwa mapambano
Shemeji kwema huko?
Muhenga anaupiga mwingi
We ulitaka tufanyeje? Tuendelee kusikiliza stori zisizo na kichwa wala miguu?
View attachment 2095254




