moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,133
- 770,212
Muhenga hapanaNi mimi miaka minne ijayo... Mungu nisaidie



Miaka 4 ijayo?
Labda 25 ijayo


Muhenga hapanaNi mimi miaka minne ijayo... Mungu nisaidie





Kwa uzee wangu huku sio kwa kupita
Aaaah wapi.
Mkuu amini hivyo, bado vilismas hiviiMuhenga hapana
Miaka 4 ijayo?
Labda 25 ijayo![]()

Yote maisha..kikubwa uhai
Khaaa ndio hadi kavua nguo kabisa
Anko acha fiksiiiMkuu amini hivyo, bado vilismas hivii![]()
Hahaa.Imenichukua muda kuelewa. Kumbe ni breki mbupu
The baharia just ran out of d*ck...
Kama unaclear mwenyewe hapo big up sana mkuu, kuna siku nilikuwa nakutana na mtu kutokana nayeye alikuwa amewahi eneo la tukio nkamwambia basi anywe hata soda nikija hapo nalipa halafu kipindi hiyo nimefulia majanga kibao, nikakuta ameagiza na chipsi yai na samaki juunilimletea noma pale mpaka jamaa wa chipsi akawa ana wasiwasi kama atalipwa ikabidi aingilie kati kunibembeleza
![]()



Hujambo lakini? Hatujasalimiana muda sasa. Mimi sinywagi bana...nitakuja unipikie supu...ukivunjwa miguu nitakupigania![]()



uwe Karibu tu wakati navunjwa miguu


uwe Karibu tu wakati navunjwa miguu
Sijambo nashukuru Mungu natumai nawe pia hujambo.
Ila usisahau kunipa recipe ya hiyo supu nikupikie![]()


