Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Uviko bado tunaye
IMG_1628657181464.jpg
 
Kama unaclear mwenyewe hapo big up sana mkuu, kuna siku nilikuwa nakutana na mtu kutokana nayeye alikuwa amewahi eneo la tukio nkamwambia basi anywe hata soda nikija hapo nalipa halafu kipindi hiyo nimefulia majanga kibao, nikakuta ameagiza na chipsi yai na samaki juu[emoji16][emoji16] nilimletea noma pale mpaka jamaa wa chipsi akawa ana wasiwasi kama atalipwa ikabidi aingilie kati kunibembeleza[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hujambo lakini? Hatujasalimiana muda sasa. Mimi sinywagi bana...nitakuja unipikie supu...ukivunjwa miguu nitakupigania [emoji16][emoji16][emoji16][emoji123]
[emoji125][emoji23][emoji23][emoji23]uwe Karibu tu wakati navunjwa miguu

Sijambo nashukuru Mungu natumai nawe pia hujambo.

Ila usisahau kunipa recipe ya hiyo supu nikupikie[emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji125][emoji23][emoji23][emoji23]uwe Karibu tu wakati navunjwa miguu

Sijambo nashukuru Mungu natumai nawe pia hujambo.

Ila usisahau kunipa recipe ya hiyo supu nikupikie[emoji16][emoji16][emoji16]

Muone! Tena huyo mvunja miguu mwambie kuwa nambipu [emoji16][emoji16][emoji16]

Supu hii haina recipe. Ni kuchemsha tu na kutia pilipili kidogo basi kwisha. Nakuomba tu uje na chapati...
 
Back
Top Bottom