moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 158,360
- 775,882
Muhenga hapana[emoji849][emoji849][emoji849]Ni mimi miaka minne ijayo... Mungu nisaidie
Miaka 4 ijayo?
Labda 25 ijayo[emoji23][emoji23]
Muhenga hapana[emoji849][emoji849][emoji849]Ni mimi miaka minne ijayo... Mungu nisaidie
Kwa uzee wangu huku sio kwa kupita
Aaaah wapi.
Mkuu amini hivyo, bado vilismas hivii[emoji868]Muhenga hapana[emoji849][emoji849][emoji849]
Miaka 4 ijayo?
Labda 25 ijayo[emoji23][emoji23]
Yote maisha..kikubwa uhai
Khaaa ndio hadi kavua nguo kabisa
Anko acha fiksiiiMkuu amini hivyo, bado vilismas hivii[emoji868]
Hahaa.Imenichukua muda kuelewa. Kumbe ni breki mbupu [emoji16][emoji16]
The baharia just ran out of d*ck...
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama unaclear mwenyewe hapo big up sana mkuu, kuna siku nilikuwa nakutana na mtu kutokana nayeye alikuwa amewahi eneo la tukio nkamwambia basi anywe hata soda nikija hapo nalipa halafu kipindi hiyo nimefulia majanga kibao, nikakuta ameagiza na chipsi yai na samaki juu[emoji16][emoji16] nilimletea noma pale mpaka jamaa wa chipsi akawa ana wasiwasi kama atalipwa ikabidi aingilie kati kunibembeleza[emoji16][emoji16][emoji16]
Tunadanganywa na ankali wenu[emoji23][emoji23]Anko acha fiksiii
[emoji125][emoji23][emoji23][emoji23]uwe Karibu tu wakati navunjwa miguuHujambo lakini? Hatujasalimiana muda sasa. Mimi sinywagi bana...nitakuja unipikie supu...ukivunjwa miguu nitakupigania [emoji16][emoji16][emoji16][emoji123]
[emoji125][emoji23][emoji23][emoji23]uwe Karibu tu wakati navunjwa miguu
Sijambo nashukuru Mungu natumai nawe pia hujambo.
Ila usisahau kunipa recipe ya hiyo supu nikupikie[emoji16][emoji16][emoji16]