Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

TAMISEMI
Wizara ya Bashungwa
IMG_1640249280250.jpg
 
Ilikuwaje tukatoka miaka 900+ mpaka 70 tu? Ni DNA ilibadilishwa au nini?


View attachment 2091531
Huenda ndiyo mabadiliko ya tabia nchi ya wakati huo.
Mvulana wakati huo alikuwa ana miaka 500,
Mtoto ni miaka 1-300.
Mzee kikongwe miaka 900-2000.
Watu walifaidi dunia aisee.
Na utakuta mtu ameishi miaka yote hiyo lakini hakuwahi kumcha mungu.
 
Back
Top Bottom