Miaka ya 70 na 80.


Mbona sembe hiyo.


Jamaa umri umesonga mbele sana.Our heroes have aged!
View attachment 2089595
Hustler. Sijui alifidiaje.Ooooh
Ningekuwa hapo halafu nikawa na vihela mfukoni ningekulipia gharama yote ya hayo mayai. Pole mpambanaji
View attachment 2091536
Kwa staili hiyo mke wa mtu aweza kuwa wako, ili mradi uwe nazo za kulipa fainiA short story kutoka magazeti ya Shigongo
Kabaharia Mark Constantine kalishikwa ugoni redi hendedi na Mwanaidi Mustapha ambaye ni mke wa mtu huko Rocky City.
View attachment 2089597
View attachment 2089599
Mwenye mke hakutaka kukaua bali aliamru alipwe laki 5 kwa kutafuniwa mke wake. Kabaharia kakaona isiwe kesi kakaamua kutoa ahadi mbele ya mashahidi.
View attachment 2089601
Mchezo ukaisha na kila mtu akaendelea na mishe zake. Mwanaidi Mustapha akaondoka na mumewe. Na hadithi yetu inaishia hapo.
Funzo: Mke wa mtu ni sumu
#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#KuchapiwaNiSiriYaNdani
Dah!! Kwa kuwatumia wapumbavu wachache, wazungu wameibadili dunia. Hv Tanzania ni wizara ipi inasimamia maadili?Familia ya akina Kardashian hiyo. Mzee wa familia si aliamua kujibadilisha na kuwa mwanamke?
Hv Aisha Madinda na Fikiri Madinda walikuwa ndugu?