Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

..
20220121_224936.jpg
 
Chizi moja aliiba simu dukani, akakamatwa, lakini mwenye duka akaamua kumuachia simu maana alijua chizi hawezi kutumia smartphone ile ya macho matatu.
Na kweli cha kuchekesha chizi si kaanza kubonyeza simu, kabonyeza we kabonyeza we kabonyeza we .... Read more
 
Na Professor Issa Shivji

Kwani uchifu ni utamaduni wetu? Makabila mengi hawakuwa na wachifu. Waliwekwa na wakoloni kwa maslahi yao (km Wazanaki). Uchifu ulipigwa marufuku na sheria mnamo 1962. Machifu waliyokuwepo (km Adam Sapi, Fundikira, Kunambi nk) waliingizwa Serikalini katika nyadhifa mbalimbali.

Ufutaji wa uchifu ulitusaidia sana kujenga umoja wa kitaifa.Nchi zingine Za Afrika (kmNigeria, Ghana nk) wamepata shida kujenga umoja wa kitaifa. Sababu mojawapo ni machifu kulinda himaya zao kwa kukuuza ukabila badala ya utaifa. Tunachotakiwa kusisitiza ni utamaduni wa kitaifa.

FB_IMG_1642819534365.jpg
 
Back
Top Bottom