LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,338
- 6,427
Then anataka umsaidie hapo hapo. Aisee hivi viumbe hivi
Then anataka umsaidie hapo hapo. Aisee hivi viumbe hivi
Ile chupa haifai hata kuangalia
tskWaziri wa wizara mpya ya mambo ya kiroho na utalii
Unachokiona ndo unachokitenda/kiandika unachokifanya kinabalu kwenye ubongo. Baadaye itakuwa sehemu ya maisha yako.
Muda sio mrefu ungepigwa!! Usikute dume hilo!
12 years bado niwe nayo kwenye simu! Ukiskia uchawi ndio huo!!Nitumie huu mchongo pm mkuu niuchek
Huyu dada kaolewa? Nakumbuka kuna kipindi alikimbiwa na bwana arusiPata shida uwajue "marafiki" zako!
View attachment 2070074
NYAMA imeshikilia nyamaPande la nyama. Kamefurahiii !!!
View attachment 2070103
Kama anafanya mdogo wangu mambo haya, namvunjilia mbali miguuView attachment 2070079



hii haina uhalisia kabisaAisee hata sijui. Nimeona tu huko naye anamnanga Mgogo wetu kutoka Galilaya.Huyu dada kaolewa? Nakumbuka kuna kipindi alikimbiwa na bwana arusi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hata sijui, ilifika tu siku ya harusi bwana hapatikani kokote. Wanazengo wanadai alikuwa na mke alitaka tu kumdhulumu muheshimiwa michangoAisee hata sijui. Nimeona tu huko naye anamnanga Mgogo wetu kutoka Galilaya.
Kwa nini alikimbiwa na Bwana harusi?
12 years bado niwe nayo kwenye simu! Ukiskia uchawi ndio huo!!





Amekusikia ameamua/amelazimishwa kukaa pembeniWaziri wa wizara mpya ya mambo ya kiroho na utalii
View attachment 2070707