kabisaaMdundo dot com
Yes!!Msamaha huwa ni kwa faida ya anayesamehe na sio anayesamehewa
Kwahio bro unasema twende wote nikapajue kwako eti,basi poa ila nitaishia nje tu


Huyu picha yake ibandikwe kwenye mabasi yote ya mikoaniWee dada Popote ulipo, naomba unitafute,
Nina zawadi yakoView attachment 2070049

Huyu ni ndugai bila shaka. Analeta fujo kwa mama nyukiAkiwa mkubwa sijui atakuwa nani huyu dogoView attachment 2070237
haha hatari sanaaUkikula panya ukashiba ukiamka nawe utaanza kukula hela![]()