Jamaa boya dah!Kama anafanya mdogo wangu mambo haya, namvunjilia mbali miguuView attachment 2070079
Halafu utasikia kirusi cha nguruwe sasa kinaambukiza wanadamu


Kuna baadhi ya dhambi hata shetani anashangaaTanzania sihamiView attachment 2070006
Ukiangalia pesa zilizotumika wakati wa matibu yake nchini India, utatambua faida ya cheo kwa mwafrika.Sema tu wanasiasa wetu hawa dah! Pengine huwa wanakuwa na madeni makubwa ndo maana wanang'ang'ania hivi vyeo utafikiri walizaliwa navyo!
Alikuwa anaumwa nini?Ukiangalia pesa zilizotumika wakati wa matibu yake nchini India, utatambua faida ya cheo kwa mwafrika.
Wamchukue tu hata sasa. Wako wengiiiiii!!!