Sidhani banaMbona kama ni tu mapacha?
mzabzab naona anachekaa kwa mbaaaaaliii.. hiyo ni karanga mkuu ( alikuwa anasaga karanga kwa kutumia chupa)
HahahaIlitumbukizwa mtaroni imetoka na tope kibao, ndiyo maana nakunywa kahawa tu mimi, sipendagi huu upuuzi
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
