Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

January.imeanza kwa.kasi sana.

nimeomba namba kanipa anafos nimpigie

nimestuka🄵🄵🄵
Screenshot_20220104-090712.png
 
Sio kwamba tunalazimisha not at all but huwezi kusema eti a caring father hapati disappointment kiwa mtoto wake wa kike yupo yupo tuu haolewi inauma bwana. It sends the message kuwa mtoto wangu anagegedwanhovyo hovyo tuu. That reflects poorly on me the father.

Kama vile wao wanawake wanapenda kuvaa shela na kuolewa ata sie wababa tunajisikia fahari pale unapo mkabidhi mwanao kwa mwanaume and u get to say kijanaa, mtunze mwanangu vizuri. Hizo hisia can not be explained its a great feeling of accomplishment.
mnanikera na hizo imani zenu kuwa mtu kama hajaolewa basi anagegedwa ovyo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sio kwamba tunalazimisha not at all but huwezi kusema eti a caring father hapati disappointment kiwa mtoto wake wa kike yupo yupo tuu haolewi inauma bwana. It sends the message kuwa mtoto wangu anagegedwanhovyo hovyo tuu. That reflects poorly on me the father.

Kama vile wao wanawake wanapenda kuvaa shela na kuolewa ata sie wababa tunajisikia fahari pale unapo mkabidhi mwanao kwa mwanaume and u get to say kijanaa, mtunze mwanangu vizuri. Hizo hisia can not be explained its a great feeling of accomplishment.

Of course kama mzazi lazima uhisi uwalakini pale mwanao hajakidhi matarajio ya kijamii, iwe wa kiume au kike, awe ameshindwa ufaulu kwenye elimu, hajapata kazi nzuri, hajaolewa au kuoa, hajafaulu kuzaa, hajajenga n.k.
Binadamu tumeumbwa kazi yetu ni kuzaliana na kupokezana kisha tunajizeekea na kujifia mbali, sad but true....ila maisha ya leo kwa namna tumezaliana na kupunguza raslimali, imekua vigumu sana kukamilisha huo mtiririko kama ilivyokua enzi zile.
Sasa tatizo linakuja pale kama mzazi unaweka presha, mbona hujajenga, mbona hupati kazi, mbona huoi, mbona huolewi .....hivyo wewe jikite kwenye kumfanya binti wako awe na furaha bila kumvuruga akili na mambo ya ndoa, siku akikutana na mtu wanaye endana itakua shwari, ikishindikana fanya yako ujifie muda wako ukifika.
 
Unaona haiwezekani kwa sababu wewe kwako ngono ni kama chakula. Moja ya kumi mbona ni idadi kubwa sana hiyo inatosha sana kubatilisha imani yako hiyo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wewe bwana kama hagegedwi mathara yake ndio hayo ya mirinda sijui fanta...they just become masters of masturbation.

Majarity hawawezi bwana wee unaleta exceptions, hizo zipo tuu lakini kamwe hatuwezi fanya maamuzi kuhusu mambo kwa kuangalia exceptions.

Na besides ata kama mtoto wangu wa kike anaremain kuwa bikra hadi miaka 50 haiondoi disapointment yangu mie kama baba bwana, thats a fact.
 
Wewe bwana kama hagegedwi mathara yake ndio hayo ya mirinda sijui fanta...they just become masters of masturbation.

Majarity hawawezi bwana wee unaleta exceptions, hizo zipo tuu lakini kamwe hatuwezi fanya maamuzi kuhusu mambo kwa kuangalia exceptions.

Na besides ata kama mtoto wangu wa kike anaremain kuwa bikra hadi miaka 50 haiondoi disapointment yangu mie kama baba bwana, thats a fact.
Sijakataa kuhusu disappointment ninachopingana na wewe ni hiyo point yako ya kugegedwa. Wale wa kujiingiza chupa ni malaya tu pengine wameshachoka na dushe, haiingii akilini mtu useme hufanyi ngono hapohapo unajisokomeza lichupa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sijakataa kuhusu disappointment ninachopingana na wewe ni hiyo point yako ya kugegedwa. Wale wa kujiingiza chupa ni malaya tu pengine wameshachoka na dushe, haiingii akilini mtu useme hufanyi ngono hapohapo unajisokomeza lichupa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasa huyu ni kwamba ishu yake imevuja but wapo wanawake wengi tuu wana masturbate kwa kutumia dildos na matango.

Sasa wee unataka kuniambia kuwa wengi ya hawa warembo ambao hawajaolewa hawagegedwi? Basi wee unaishi katika ulimwengu wako usio na uhalisia.
 
Sasa huyu ni kwamba ishu yake imevuja but wapo wanawake wengi tuu wana masturbate kwa kutumia dildos na matango.

Sasa wee unataka kuniambia kuwa wengi ya hawa warembo ambao hawajaolewa hawagegedwi? Basi wee unaishi katika ulimwengu wako usio na uhalisia.
Aisee wapi nimesema hawagegedwi? Hebu rudi usome tena...nimesema si kila ambaye hajaolewa anagegedwa ovyo kama ulivyosema. Wapo ambao hawafanyi, wapo wanaofanya kawaida tu kishkaji, wapo malaya, wauzaji n.k

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Aisee wapi nimesema hawagegedwi? Hebu rudi usome tena...nimesema si kila ambaye hajaolewa anagegedwa ovyo kama ulivyosema. Wapo ambao hawafanyi, wapo wanaofanya kawaida tu kishkaji, wapo malaya, wauzaji n.k

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ketendo cha kumvulia chupi mwanaume ambaye sio mume wako ni kugegedwa hovyo hovyo in my opinion.
 
Back
Top Bottom