Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20211206_100044.jpg
 
Kenya, Uganda, South Africa zimeingizwa ki magumashi hapo.
Nchi tatu za Afrika mashariki, Kenya Uganda na Tanzania hazipishani sana.
Labda utafiti wao kuhusu Tanzania waliufanyia mikoa ya Kigoma, Katavi, Rukwa, Mbeya, Njombe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
List ya michongo [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Madaraka matamu aisee, huyu mwamba tangu amepoteza cheo chake kwenye CCM anamwaga povu mpaka anatia huruma.

Machungu anayopitia sasa kwa kupoteza cheo chake ndiyo ambayo wenzake nao waliyahisi.

Naye aanzishe mtandao wake wa Kigogo 2014 ili.atukane mafichoni, maana sasa anajiabisha tu.
Amuige Bashiru
 
Back
Top Bottom